Metro Stunna – Badman Crazy Lyrics

Check out “Badman Crazy” lyrics by Metro Stunna on Kelxfy.
Badman Crazy Lyrics
Double6, Metro Stunna
DuttyMoney Riddim (Double6)
Badman crazy mavela ndo naset
Biz bila ganji ata sidhani utaniget
Napenda black pssy alafu ikuje ikiwa wet
Siwezi gwaya isa mamwere wanabanjaga kwa net
Ni kudonjo makeki na mastud wamesag
Local pub na my homie tukimochoka majug
Nishacall pedi anadeliver izo mabag
Za mpoa zimeshika anadaisha tu mahug
Chuma ikiclap inaweza burn hio scheme
Mafala wanang’am wakidiss tunaspin
Nazoza bila rende tuko mi and my twin
Kwa hii game ni ku aim, ku-score na kuwin
Anadai hanipendi ati anataka this pipe
Kifua imesimama izo matunda zimeripe
Nafanya akuwe horny akinijenga namswipe
Yaani shots after shots, after shope anawipe
Naweza kushika fine, udhani mi ni cop
Si unapenda ma F, kejani nina mop
Si unajua kublow, naeza kupea job
Let’s go down tukilock, naeza kupea top
Hatucompete na vijana ya wadosi
Bado utaperembwa mi sitambui vikosi
Biz yangu safi huwezi nipata na tothi
Na naeza zua solo si lazima nione mbogi
Full-time driller nikichase dutty money
Biz ina maziwa kama kawa niko ndani
Future so bright, nadunga mamiwani
Kadaila niko pree zone unakuwanga pande gani
Mchuma huwanga tall karibu one metre
Si unapenda kuride, ni kiti ya one seater
Kwanza ukiwa down the more inakuwa sweeter
Nacheza game rough, ni lazima umwage litre
Badman crazy mavela ndo naset
Biz bila ganji ata sidhani utaniget
Napenda black pssy alafu ikuje ikiwa wet
Siwezi gwaya isa mamwere wanabanjaga kwa net
Ni kudonjo makeki na mastud wamesag
Local pub na my homie tukimochoka majug
Nishacall pedi anadeliver izo mabag
Za mpoa zimeshika anadaisha tu mahug