Toxic Lyrikali – Euphoria Lyrics
Check out Toxic Lyrikali “Euphoria” lyrics on Kelxfy.
Euphoria Lyrics
Mboka Doba
Mana TOX, IC, IC, dem wicked
Sina worry worry worry worry worry
Mi ni warrior
Wanaboronja sana tukipatana
Inakuwa ni euphoria
Sijakaza na bado nawaroria
Bad mind nawakulia mashawty wao
Boronja mtandao finyiwa kwa ground
Na inabaki kuwa anonymous
No worries, worries, worries
Coz I’m a warrior
Wanaboronja sana tukipatana
Inakuwa ni Euphoria
Dim dim ni kama nimewasha hazard
Niko 1960 na bado nimeenda gwatha
Sana ju ya sanaa ya unisa
Waridhiki mi si wa kubahatisha
Ni mbuda na anajisaidia na jina yangu
Paka ya maisha na tisa na tambariza na dogi
Mana T naongeza Rick ataka ni ku wacon
Tuwarowese na moti
Na jua ni teo
Ukiulizwa ni saa ngapi chunga neck
After jua imedim tukiumana si sio friends
Mmmh sidhani ka unarelate
Kukuwa G sidhani unarelate
Sina worry worry worry worry worry
Mi ni warrior
Wanaboronja sana tukipatana
Inakuwa ni euphoria
Sijakaza na bado nawaroria
Bad mind nawakulia mashawty wao
Boronja mtandao finyiwa kwa ground
Na inabaki kuwa anonymous
No worries, worries, worries
Coz I’m a warrior
Wanaboronja sana tukipatana
Inakuwa ni Euphoria
Also check out: Toxic Lyrikali Back Bencher Lyrics
