Jux – Bado Lyrics
Check out “Bado” lyrics by Jux on Kelxfy. “Bado” is a soul-stirring ballad produced by Tanzanian producer BoB Maneck. Following the success of “Nisiulizwe” and “Uta Dead,” “Bado” takes listeners on an emotional journey.
Bado Lyrics
It’s Bob Manecky
(Aaaaah…aaaaah)
Nakumbuka sura yako
Nakumbuka jina lako
Nakumbuka tabasam
Uzuri wa pendo lako
Siwezi kusahau
Ila naulaumu moyo (Mmmh)
Kukupenda too much
Ndo kinachoniumiza
Si unajua mazoea yana maumivu
Nimetupa ndoano aaah (La La La)
Nimeambulia patupu (La La La)
Inaniumiza bad
Ila nitamove on bado
Nitakusahau baby oo
Oooh! Homa si homa baby (La La La)
Hata nikilewa pombe hainiingi (La La La)
Naondoa stress bado
Ile kikomando
Nami nitapendwa bado
Bado badoo
Baby we! Nikipenda mtu
Huwa napenda kweli na nabaki mtupu
Nasahau mapenz yana maumivu
Ooh siachi tu
Baby we! Nikipenda mtu
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu
Mmmmh! Yeaah!
Mapenzi kama maji (Babe)
Usipokunywa utaoga
Usitukane mamba
Hujavuka mto, Jahazi likazama
Baby wewe
Chungu kimoja (Aah uh)
Wapishi ni wengi (Aah uh)
Chakula kikiiva
Kinaliwa na wengi
Baby baby baby
Nitapata mwingine aaah
Nimetupa ndoano aaah (La La La)
Nimeambulia patupu (La La La)
Inaniumiza bado
Ila nitamove on bado
Nitakusahau baby oo
Oooh! Homa si homa baby (La La La)
Hata nikilewa pombe hainiingi (La La La)
Naondoa stress bado
Ile kikomando
Nami nitapendwa bado
Bado badoo
Baby we! (Baby) Nikipenda mtu (Nikipenda)
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu (Eeeh)
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu (Siachi, Mmh siachi yee)
Baby we! (Ooh) Nikipenda mtu (Ooooh Mama)
Huwa napenda kweli, Na nabaki mtupu
Nasahau mapenzi, Yanamaumivu
Ooh siachi tu (Siachi, Siachi yee)
Siachi, siachi tu
Mapenzi siachi
Siachi, siachi