Lil Maina – Cocoa Butter Lyrics ft Danski

Check out “Cocoa Butter” lyrics by Lil Maina featuring Danski on the Kelxfy blog. “Saa Sita” is off Lil Maina’s debut album, “Maisha ya Stunna“.
Cocoa Butter Lyrics
Huh huh, Stunna, Stunnah aah
Skia skia…aah
Na niko ndani ya bukla
Nikimedi na mashasha
Jaribu ujinga ni mabare utapata
Viatu tumepiga ni maclarks za kwa Bata
Warembo wote wananukia cocoa butter
Basi rusha mikono ka unaona uko tipsy
Rusha mikono kama maisha iko fiti
Rusha mikono kuja basi twende hivi
Sijalala siku tano naona kama nitachizi
Ata nikikosa leo nitakupata
Kama kuna ngori itakua disaster
Siku mingi jo baby nimekudata
Wacha kusita sita baby kam hapa
Kama unanifeel (feel)
Wachana na mi (Mi)
I’m honestly just a humble rapper
Ye hukuwa anatii, maina ni nabii
Niliwashow hii ngoma itawangwata
Na niko ndani ya bukla
Nikimedi na mashasha
Jaribu ujinga ni mabare utapata
Viatu tumepiga ni maclarks za kwa Bata
Warembo wote wananukia cocoa butter
Basi rusha mikono ka unaona uko tipsy
Rusha mikono kama maisha iko fiti
Rusha mikono kuja basi twende hivi
Sijalala siku tano naona kama nitachizi
Excuse me I mean empress samahami
We ni Safaricom juu ya venye haupatikani
Na macho yako nzuri unafanya natamani
Rafiki zangu wanashindwa rada gani
Nipate currency zingine Villa Rosa
Na kila napo-enda utafuatwa na masoja
Kichwa inauma basi meza Sona Moja
Na venye unanitesa akili bado nitangoja
Nimefunga dready manze hunitaki
Na kama ni makosa basi we utanishtaki
Ningetaka twende Shanzu au Diani
Na unataka lightskin kwani mi ni Mlami?
Na niko ndani ya bukla
Nikimedi na mashasha
Jaribu ujinga ni mabare utapata
Viatu tumepiga ni maclarks za kwa Bata
Warembo wote wananukia cocoa butter
Basi rusha mikono ka unaona uko tipsy
Rusha mikono kama maisha iko fiti
Rusha mikono kuja basi twende hivi
Sijalala siku tano naona kama nitachizi
Yeah, Da Da Danski
Maina ah, Stunna ah
Stunnah ah..
Patikani, rada gani
Cocoa butter